Hata hivyo Ruto amesema kuwa amezungumza na Rais Tshisekedi pamoja na Rais wa Rwanda, Paul Kagame kwa lengo la kujaribu kutuliza hali inayoendelea katika eneo hilo.
Hata hivyo, msemaji wa Rais Kagame amethibitisha kuwa kiongozi huyo wa Rwanda atahudhuria mkutano huo uliopangwa kufanyika leo.