International News

RAIS SAMIA AKISALIMIANA NA RASI RUTO

Tarehe: 05 Sep, 2023


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Kenya Mhe. William Ruto mara baada ya kuwasili katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Kenyatta (KICC) kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi Barani Afrika (Africa Climate Summit 23) Nairobi nchini Kenya tarehe 05 Septemba, 2023

  • © Copyright - 2024
  • All rights reserved by - MainFm
  • Developed by - Mainfintech Lab