International News

RAIS WA HUNGARY KUJIUZULU

Tarehe: 11 Feb, 2024


Rais wa Hungary, Katalin Novak ametangaza kujiuzulu baada ya kukosolewa vikali kwa kutoa msamaha kwa mtu aliyeficha taarifa katika kesi ya unyanyasaji wa kingono kwa watoto.

Mtu huyo alitiwa hatiani kwa kuwalazimisha watoto kubadili kauli zao kuhusu madai hayo dhidi ya msimamizi wa kituo cha serikali cha kulea watoto.
..........................
Powered by 
@tigo_tanzania
#TigoTanzania
#ValentinesLoversNight
#TigoMainfm