MAIN FM CUP Report
Nyumbani
Kuhusu sisi
Ratiba
Kurasa
Timu yetu
Video
Habari
Mawasiliano
MAIN FM CUP Report
National News
RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI
Tarehe: 21 Nov, 2023
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amemteua Bw. Adam Charles Mihayo kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Biashara Tanzania (TCB).
Bw. Mihayo ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Afrika Tanzania.
cc: @ikulu_mawasiliano
..........................
Tufuatilie zaidi kupitia
#instagram @mainfmtanzania
#facebook @mainfmtanzania
#twitter @mainfmtanzania
© Copyright -
2025
All rights reserved by -
MainFm
Developed by -
Mainfintech Lab